Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 vya kulala vyumba 2 master bedroom, sebule, jiko, dining room, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, reserve water tank, peving block, hapa ndani ya fence kuna apartment 3 tu, kutoka kituoni bodaboda sh 1500, Located tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalali















