Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika Songasi, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, dining room, jiko, store na public toilet, umeme na maji unajitegemea, paving block, reserve water tank, parking kubwa, hapa ndani ya fence kuna apartment 3 tu, kutoka kituoni dakika kumi hivi 10, Location ya tabata kinyerezi kibaga zabika songasi dar es es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Malipo ya dalali















