Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 500000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 vya kulala chumba kimojawapo master bedrooom, sebule, dining room, jiko lenye makabati, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, reserve water tank, hapa ndani ya fensi kuna apartment 3 tu, kutoka kituoni dakika 5 hivi, Hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi mwisho dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















