Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Apartment
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π’ APARTMENT ZINAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY π’
Unatafuta fursa ya uwekezaji yenye mapato ya uhakika au makazi katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ni nafasi yako!
β¨ Sifa za Apartment:
β
Jumla ya apartment 4
β
Apartment 3 zina vyumba 2, sebule na jiko
β
Apartment 1 kubwa ina vyumba 3, kimoja ni master, sebule na jiko
β
Ukubwa wa eneo: SQM 600
β
Hati: Serikali ya Mtaa
π Mahali:
β’ Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 12 kutoka Ferry
β’ Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
π°BEI,Milioni 165
Apartment hizi zipo katika mazingira mazuri, salama na yenye miundombinu mizuri, zikifaa kwa uwekezaji wa kupangisha au makazi ya familia.
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















