Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Goba Center, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
STANDALONE INAPANGISHWA
π GOBA CENTER
Kodi ya Mwezi: TZS 800,000 TZS
Malipo ya Awali: Miezi 6
Eneo: Madale Center
Vipengele vya Mali:
β’ Vyumba Vitatu vya Kulala: (chumba kimoja cha master chenye bafu maalum)
β’ Sebule: Ndefu na pana
β’ Jikoni: Ya kisasa yenye kabati za ubora wa juu
β’ Dinning
β’ Maegesho: Nafasi ya kutosha ndani ya kiwanja
Huduma za Msingi:
β’ Maji: Bila malipo
β’ Umeme: Mita ya prepaid ya kujitegemea
Urahisi na Usafiri:
Ufikiaji rahisi wa usafiri wa umma na huduma muhimu
Gharama za Huduma:
β’ Ada ya Kuangalia: TZS 20,000 (mara moja, inatumika hadi utakapopata nyumba)
β’ Ada ya Wakala: Thamani ya kodi ya mwezi mmoja (inatolewa tofauti)
Mawasiliano kwa Kuangalia na Taarifa Zaidi:
Piga simu/WhatsApp: O745115040















