Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
NYUMBA INAPANGISHWA – KIMARA SUKA 1KM
ZIPO 2 TU KWENYE FENCE
Nyumba nzuri inapatikana Kimara Suka.
📍 1km kutoka stand ya Suka
Maelezo ya nyumba: ✅ Vyumba 3 (kimoja master bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko kubwa
✅ Public toilet
✅ Umeme na maji inajitegemea
✅ a/c kwenye master na sebule
✅ Ipo ndani ya fensi
Kodi 500.000 x miezi 6
Kwenda kuona nyumba ni Tsh 20,000.
Malipo ya udalali:
Mpangaji atamlipa agent kodi ya mwezi mmoja pindi atakapolipia nyumba.
Call/WhatsApp.















