Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Kwa Msuguli, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 250,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

2

Barabara ya Karibu

2.5km

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Makabati
Dining
Jiko
Uzio
Inajitegemea

Maelezo

(250,000X4)MBEZI KWA MSUGULI
___________
STAND ALONE HOUSE FOR RENT/NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA KWAMSUGURI

Vyumba 3 VITATU vya kulala kimojawapo master bedroom pia kina kabati sebule kubwa dainin kubwa jiko kubwa na public toilet

FULL A/C NDANI YA NYUMBA

Kodi 250,000 kwa mwezi × 4

INAJITEGEMEA UMEME NA MAJI DAWASA YANAFLOO NDANI KILA SEHEMU

NB; PIA KUNA KISIMA CHA LITA 3000 CHA MAJI YA RESEVU HAKUNA SHIDA YA MAJI APA

Umbali kutoka kituoni wa km 2.5 usafiri upo wakutosha bajaji 500
Boda ZIPO

Kupelekwa kuona nyumba 20,000/=

CONTACT US:
0716223412
0662715781