Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbweni Jkt, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba Inapangishwa. Inajitegemea, Ipo Mbweni Jkt
Ina Vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni Master, Dining Room, Sitting Room, Kitchen, Public Toilet.
Umeme wa Luku
Dawasa
Bei ni laki Saba kwa Mwezi.(700,000)
Gharama ya kuona
20,000
Wasiliana nami
0718 809 744















