Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 500,000/month

Maelezo

šŸ“ STAND ALONE INAPANGISHWA – TABATA SEGEREA V/BANK

Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi? Hii ndiyo fursa yako!
šŸ” Sifa za nyumba:
* Vyumba 3 (2 Master Bedroom)
* Sebule kubwa
* Jiko la kisasa lenye makabati
* Store
* Choo cha wageni (Public)
* Maji ya DAWASCO
* Water reserve tank
* Parking ya kutosha
* Iko pekee ndani ya fensi
* Mazingira safi, tulivu na salama
* Dakika 3 tu kutoka barabara ya lami
šŸ’° Kodi: TSh 500,000 kwa mwezi
šŸ“… Malipo: Mwaka mmoja (miezi 12) mbele
šŸ’¼ Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja (TSh 500,000)
šŸ’µ Service Charge: TSh 20,000/=
šŸ“ž Muhitaji piga: +255 652 692 028

Matangazo mengine Segerea, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 200,000/month

For Rent2 beds1 bathhouse