Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Ununio Beach, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
STAND ALONE
INAPANGISHWA
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI-UNUNIO BEACH
KODI NI TSH MIL 1,500,000/= KWA MWEZI
KUBWA YA KIFAMILIA
YENYE:-
Vyumba Vitatu vya kulala #Masta #Sebule #dinning #Jiko zuri lenye makabati Choo/Bafu
vya ndani public
Gypsum Tiles aluminium Windows
Umeme upo wa Luku yake
Maji yapo ya bomba 24hrs
Cars Parking Space ipo kubwa
Nje Pavingblocks Garden
FencedHouse
Nione dalalimbezibeach _rahimu
Contact 0788002802
WhatsApp 0788783636
Karibuni sana wateja wangu ππ















