Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chanika, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.33 MILIONI,CHANIKA KITONGA.

Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Huduma za Umeme na Maji zipo.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+25/ 714 591 548

_______________msk