Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 65,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, FANI CITY 🏑

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Fani City, Kigamboni.

βœ… Vyumba 3 (Viwili aster Bedroom)
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko
βœ… Ukubwa wa kiwanja: 400 Sqm

Good News! πŸŽ‰
Nyumba imekamilika kwa takribani asilimia 80.

βœ”οΈ Milango imefungwa
βœ”οΈ Umeme umefungwa tayari
βœ”οΈ Mfumo wa taa na bodi ya umeme umekamilika
βœ”οΈ Zimebaki kazi chache za umaliziaji kama kuweka tiles na finishing nyingine ndogo ndogo.

πŸ“ Mahali ilipo:
β€’ Mita chache kutoka Barabara ya Alami
β€’ Kilomita 9 kutoka Feri
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ’° Bei: TZS Milioni 65
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi makini.

Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba kwa bei nafuu na kukamilisha umaliziaji kulingana na ladha yako.

πŸ“ž 0769554221

#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam