Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE FREMU TATU INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 23 TU. ========== π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master π»Sebule π»Jiko π» Public toilet π»Ina Fremu tatu kwa mbele __________________ π° BEI MILIONI 23 tu ========== βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa π Maji na Umeme vipo βοΈ Ina ukuta pande mbili βοΈ Sebuleni ina Gympsum & Tiles πͺ Kiwanja chake kina 10*30 (sqmt 300) ========== βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k ========== Call/WhatsApp: #0714972994















