Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (405 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
405 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS umbali wa Dk 4 kutoka stend ya daladala NYUMBA ipo Karibu kabisa na barabara kubwa ya lami ya morogoro road Nyumba inauzwa TSH MILLIONI 25 MAONGEZI YAPO. NYUMBA ina VYUMBA V3 VYA KULALA, KIMOJA MASTER, SEBULE,JIKO NA PUBLIC TOILET Ukubwa wa KIWANJA ni mita 27 KWA 15 HATI YA MAUZIANO SELIKALI YA MTAA SERVICE CHARGE TSH 30,000 KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU ☎️ O719969102















