Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā KIGAMBONI, FANI CITY š”
Je, unatafuta nyumba nzuri katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ni fursa yako!
ā
Vyumba 3, vyote Master Bedroom
ā
Sebule kubwa pamoja na jiko
ā
Ukubwa wa eneo: SQM 400
ā
Nyumba imekamilika kwa asilimia 90
ā
Imeshafungwa madirisha, milango, mfumo wa umeme na taa tayari
ā
Yamebaki marekebisho madogo tu ya mwisho
š Mahali:
⢠Mita chache kutoka barabara ya mtaa
⢠Kilomita 9 kutoka Feri ya Kigamboni
⢠Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
š° Bei: TZS Milioni 65
š¤ Maongezi kidogo yapo.
Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba bora kwa makazi au uwekezaji katika eneo la Fani City, Kigamboni.
š 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingsongs















