Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kifuru King'azi, Dar Es Salaam (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
3km
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KINYEREZI KIFURU KINGβAZI, DAR ES SALAAM πΉπΏ
π° Bei: TSh Milioni 60 (Mazungumzo yapo kwa mteja makini)
π Location: Kinyerezi Kifuru Kingβazi
π£οΈ Umbali wa KM 3 tu kutoka barabara ya lami.
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
π Umiliki: Mauziano ya Serikali ya Mtaa
β¨ Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 3 vya kulala
π Chumba 1 Master
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining Room
π³ Jiko
πΏ Choo cha Familia
β‘ Umeme upo
π§ Maji yapo
π§± Imezungushiwa Fence
β
Fursa nzuri kwa makazi ya familia au uwekezaji katika eneo linalokua kwa kasi.
πΌ Service Charge: TSh 50,000/=
NIPIGIE CM CHAP
π ....
Miliki Kesho Yako Leo!!! π















