Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KINYEREZI MWISHO
✅ Vyumba 3 (1 Master)
✅ Sebule, Dining & Jiko la kisasa
✅ Choo cha wageni
✅ Parking, Fence & Electronic Fence
✅ Eneo tulivu na salama
💼 Inafaa kuishi au uwekezaji. Inaweza kupangishwa kwa TSh 600,000–700,000 kwa mwezi.
💰 Bei: TSh 90,000,000 (Mazungumzo yapo.)
📄 Nyaraka: Sales Agreement
💼 Gharama ya Huduma: TSh 30,000/=
📞 +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















