Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (900 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KINYEREZI MWISHO
Unatafuta nyumba yenye eneo kubwa, mazingira mazuri na neighborhood bora? Hii ni fursa nzuri kwako!
π Location: Kinyerezi Mwisho
π Ukubwa wa eneo: SQM 900
Nyumba ina:
β
Vyumba 3 (Kimoja Master)
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
β
Store
β
Choo cha Public
π³ Ipo kwenye mtaa mzuri sana wenye miundombinu bora na huduma zote muhimu zinapatikana kwa urahisi.
π° Bei: TSh Milioni 110 (Negotiable).
π Site Visit: TSh 30,000/=
π
Wasiliana nasi kupanga muda wa kutembelea nyumba.
π +255 688 412 890
π² dalaliwakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!
#DalaliWakishua #NyumbaInauzwa #KinyereziMwisho #RealEstateTZ #PropertyForSale DarEsSalaam MilikiKeshoYakoLeo















