Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Sekretari Mwisho, Dar Es Salaam (350 sqm)

Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KINYEREZI SEKRETARI MWISHO, DAR ES SALAAM
Unatafuta nyumba nzuri yenye nafasi kubwa katika eneo tulivu na linalofikika kwa urahisi? Hii ni fursa yako!
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko la kisasa lenye makabati
โ
Choo cha wageni (Public Toilet)
๐ณ Vitu vya Ziada:
โ
Vyumba vya Boyโs Quarter
โ
Mabanda ya kufugia mbwa
โ
Kisima cha maji (mashine ya kuvuta maji imefungwa)
โ
Eneo la kiwanja takribani SQM 350
๐ Location: Kinyerezi Sekretari Mwisho โ eneo zuri na tulivu, linafikika kwa urahisi kutoka stendi bila usumbufu.
๐ฐ Bei: TSh 150,000,000 (Inajadiliwa kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.)
๐ Kwa maelezo zaidi na kupanga viewing:
+255 688 412 890
Dalali Wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















