Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก BANDA LA KUMALIZIA LINAUZWA โ KINYEREZI ZABIKAH
๐ Lipo takriban dakika 5 kutoka kituoni, katika eneo tambarare lenye miundombinu mizuri na neighborhood inayokua kwa kasi.
โจ Muundo wa nyumba:
โ
Vyumba 3 vya kulala
โ
Sebule
โ
Jiko
๐ฐ Bei: TSh Milioni 11 tu!
Muuzaji yupo tayari kuuza.
Hii ni fursa nzuri kwa:
โ๏ธ Unayetaka kumalizia na kuhamia mara moja ili kupunguza gharama za kupanga.
โ๏ธ Mwekezaji anayetaka kumalizia na kupangisha kwa mapato ya uhakika.
๐ Nyaraka: Sales Agreement
๐ Piga simu: +255688412890
๐ต Viewing Fee / Service Charge: TSh 30,000/=
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















