Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam (650 sqm)

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

650 SQM

Huduma na Sifa

Umeme
Maji

Maelezo

NYUMBA MPYA 6A KISASA,TSHS.65 MILIONI,KIVULE FREMU KUMI.

Hapa ni Jirani na NJIA NNE.
Au maarufu KWA-JOHN FEDHA.

Kowanja kina ukubwa wa SQM. 650.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Nyumba nzuri na Safi YAKUHAMIA.

Ina vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Inafikika kwa urahisi na Huduma muhimu za
Umeme na Maji zipo.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv