Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam (650 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYA 6A KISASA,TSHS.65 MILIONI,KIVULE FREMU KUMI.
Hapa ni Jirani na NJIA NNE.
Au maarufu KWA-JOHN FEDHA.
Kowanja kina ukubwa wa SQM. 650.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba nzuri na Safi YAKUHAMIA.
Ina vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Inafikika kwa urahisi na Huduma muhimu za
Umeme na Maji zipo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mskv













