Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Shule, Dar Es Salaam (400 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
Tupigie simu .
Nyumbq inauzwa tsh mil 185 tu.
—
Ipo madale shule mita 200 toka lami
—
ukubwa kiwanja SQM 400 na ina HATI MILIKI
—
Vyumba V3 kimojawapo master,sebule,jiko,dining na public toilet moja ya ndani na nyingine ya nje
—
Iko ndani ya electric fence na ina camera
—
Maji yapo muda wote na ina reserve tank za jumla ya lita 7000.
—
Ukinunua hii unaweza kuipangisha kwa tsh mil 1 kwa mwezi.
NB: ina vigezo vyote vya kupata mkopo wa bank #mortgage kwa wanaonunuliwa na bank.















