Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI 📍kwa mapemba
Unatafuta nyumba nzuri ya familia au uwekezaji? Hii hapa nyumba ya kisasa kabisa iliyopo Chamazi, ndani ya mazingira mazuri, salama na yenye maendeleo ya haraka. 🔥
✨ SIFA ZA NYUMBA
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Vyumba 1 master bedroom
✅ Sitting Room kubwa na ya kisasa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa pamoja na Store
✅ Public Toilet
✅ Parking kubwa ya magari
📍 Location: Mbagala Chamazi – Dar es Salaam
✅ Dakika chache kutoka barabara ya lami
✅ Hati safi ya serikali ya mtaa
✅ Inafaa kwa makazi au uwekezaji
💰 Bei: Milioni 60 tuh
🤝 Maongezi yapo kwa mteja serious
📞 Kwa maelezo zaidi na kwenda site:
☎️ 0683 665504
🔥 Njoo ukague mwenyewe, nyumba ni kali sana na inavutia!
#NyumbaInauzwa #Chamazi #Mbagala #DarEsSalaam #RealEstateTanzania















