Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Mapemba, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π NYUMBA INAUZWA β MBAGALA CHAMAZI (MAPEMBA)<br/><br/>Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa kwa bei ya milioni 75 tu (maongezi yapo).<br/><br/>π Location: Mbagala Chamazi, Mapemba<br/>π‘ Sifa za nyumba:<br/><br/>Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)<br/><br/>Sitting room kubwa<br/><br/>Dining room<br/><br/>Jiko la kisasa<br/><br/>Public toilet<br/><br/>Umeme wa LUKU upo<br/><br/>π₯ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu β ni chaguo sahihi kwa familia.<br/><br/>π Njoo site ukague mwenyewe, ukiwa serious huwezi kuiacha!<br/>π₯ Mwenye nyumba yupo tayari kuuza β fursa ya kipekee kwa mnunuzi.<br/><br/>π Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504















