Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mfenesin, Dar Es Salaam

Chamazi, Temeke, Dar Es Salaam
7 days ago
Sh. 75,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Huduma na Sifa
Maji
Umeme
Boy Quarter Self Contained
Shop Frame Income Source
Maelezo
🔥 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – FURSA ADIMU 🔥
📍 Ipo Mbagala Chamazi Mfenesin
💰 Bei: Milioni 75 (Mazungumzo yapo)
🏡 Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
✅ Sitting room + Dining
✅ Jiko la kisasa
✅ Public toilet
✅ Boy quarter (self-contained)
✅ Frem ya duka (chanzo cha kipato)
✅ Maji ya uhakika 💧
✅ Umeme wa LUKU ⚡
✨ Nyumba kubwa, ya kisasa na eneo zuri – inafaa kuishi na kufanya biashara pia!
📞 Wahi sasa! Piga simu kwa maelekezo zaidi.0683 665504
👉 Hii sio ya kukosa mdau wangu!
