Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam (230 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.40 MILIONI TU, MBAGALA-CHAMAZI.
Kiwanja SQM.230.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ina vyumba 3 na pia nyumba kuna Banda la Vyumba 2.
WAHI MAZUNGUMZO YAPO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________rK















