Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA β TSH MILIONI 76 TU!
π Eneo: Mbagala Chamazi Mikumi
π Ipo jirani kabisa na barabara kuu ya lami β ni sekunde 15 tu kutoka barabara ya lami.
Sifa za nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
β
Sitting Room kubwa
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa
β
Fence yenye waya wa umeme (Electric Fence)
β
Maji ya kutosha mwaka mzima
π Wahi kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi au kupanga kuitembelea, piga simu: 0683 665 504.
Serious buyers tu. Karibu ukague nyumba na ufanye maamuzi sahihi!















