Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam (400 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA KUBWA INAUZWA β MBAGALA ZAKHEM
π° Bei: Milioni 250 (Mazungumzo yapo)
Nyumba hii ipo Mbagala Zakhem, jirani kabisa na kituo cha Mwendo Kasi, katika eneo zuri na linalofaa kwa makazi au uwekezaji.
Sifa za nyumba:
β
Nyumba kuu ina vyumba 3 vya kulala
β
Sitting room
β
Fremu 1 ya biashara
β
Kuna vyumba 6 vya kupanga ndani ya eneo
β
Ukubwa wa eneo: Square Meter 400
Hii ni fursa nzuri kwa anayetafuta nyumba ya kuishi huku akipata kipato cha kodi.
π Njoo site ukague na ukutane na mwenye mali.
π Kwa maelezo zaidi piga simu:















