Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
4.1km β Goba Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI MSAKUZI<br/><br/>π° Bei: 160,000,000/= MAONGEZI YAPOπ<br/> Service Charge: 50,000/=<br/><br/>Unatafuta nyumba nzuri yenye eneo kubwa kwa makazi au Kuweka miradi yako ya Mifugo? Hii hapa fursa yako!<br/><br/>π Location: Mbezi Msakuzi<br/>π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1000<br/>π Hati: Document za Serikali ya Mtaa<br/>π£ Umbali kutoka Barabara ya Goba: KM 4.1<br/>π VYUMBA VI tatu(3) KIMOJA MASTER BEDROOM <br/>πMASTER BEDROOM KUNA AC,FENI,MAKABATI,CHOO KIKUBWA+ HEATER <br/><br/>~Seble Kubwa sana ina Ac,feni<br/>~Dinning Room <br/>~Jiko Zuri Lina Makabati <br/>~Stoo <br/>~Public Toilet<br/><br/>π SERVANT QUARTER <br/> ~INA CHUMBA KIMOJA<br/>~JIKO <br/>~PUBLIC TOILET<br/><br/>ENEO LA MIFUGO NI KUBWA UNAWEZA ONGEZEA MABANDA KWA NYUMA KUENDELEZA MIRADI YA KUFUGA.<br/><br/>β¨ Eneo tulivu, linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa baadaye.<br/>β¨ Upatikanaji mzuri wa usafiri na huduma muhimu.<br/><br/>π Wasiliana nasi sasa: 0782 724 115 / O766057880 <br/> π€Ofisi Zetu zipo Tegeta /kanisani road<br/> INVEST YOUR FUTURE WITH US <br/><br/>π Usikose nafasi hii! Karibu uone leo.<br/>#NyumbaInauzwa #Mbezi #RealEstateTZ #graspinvestments #villa















