Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (900 sqm)









Huduma na Sifa
Maelezo
š” Nyumba inauzwa maeneo ya Tabata Bonyokwa.
⨠Ina:
⢠Vyumba 3 (2 master)
⢠Sebule kubwa
⢠Jiko
⢠Public toilet
⢠Mafeni
⢠Parking ya kutosha
⢠Water reserve tank
⢠Mtaa tulivu sana
⢠Neighborhood ya kishua na mazingira mazuri ya kuishi
š Ukubwa: SQM 900
š° Bei: Milioni 130
š Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
š Muhitaji piga: 0688 412 890
#TabataProperty #TabataBonyokwa #NyumbaInauzwa #DalaliWakoWakishua















