Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (900 sqm)









Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 Nyumba inauzwa maeneo ya Tabata Bonyokwa.
✨ Ina:
• Vyumba 3 (2 master)
• Sebule kubwa
• Jiko
• Public toilet
• Mafeni
• Parking ya kutosha
• Water reserve tank
• Mtaa tulivu sana
• Neighborhood ya kishua na mazingira mazuri ya kuishi
📐 Ukubwa: SQM 900
💰 Bei: Milioni 130
📌 Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
📞 Muhitaji piga: 0688 412 890
#TabataProperty #TabataBonyokwa #NyumbaInauzwa #DalaliWakoWakishua















