Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 2,700,000/month

Maelezo

🏡 Stand Alone House for Rent – Mbezi Beach, Dar es Salaam

Nyumba kubwa ya kifamilia inapangishwa, ipo kwenye eneo tulivu na salama.

✨ Sifa za Nyumba:
✔️ Vyumba 4 vya kulala (Master)
✔️ Sebule kubwa & Dining
✔️ Jiko zuri lenye makabati
✔️ Vyoo/Bafu vya ndani + Public
✔️ Gypsum ceiling & Tiles
✔️ Aluminium windows

🌟 Huduma & Mazingira:
✔️ Umeme wa LUKU binafsi
✔️ Maji ya bomba 24/7
✔️ Maegesho makubwa ya magari
✔️ Paving blocks nje
✔️ Fensi kuzunguka nyumba

💰 Kodi: TZS 2,700,000 kwa mwezi
📆 Malipo: Miezi 6

📞 Call/WhatsApp: 0746178918

#MbeziBeach #StandAloneHouse #NyumbaYaKupanga #DarEsSalaamHomes #RealEstateTZ

Matangazo yanayofanana Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Sh. 1,300,000/month

  • Maji

  • Parking Space

  • Luku Inajitegemea

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Msuguli, Dar Es Salaam

Sh. 150,000/month

  • Uzio

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Sh. 1,300,000/month

  • Maji

  • Parking Space

  • Luku Inajitegemea

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000/month

  • Parking Space

  • Luku Inajitegemea

  • Mita ya Maji Inajitegemea