Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mbweni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000/day

Maelezo

๐Ÿก Nyumba ya Vyumba 4 vya Kulala โ€“ Mbweni, Zanzibar

Ipo Mbweni, Zanzibar, dakika 15 tu kwa gari kutoka Stone Town, na iko karibu kabisa na barabara kuu kwa urahisi wa usafiri.

Pia, kuna migahawa mingi iliyo karibu, hivyo kama hupendi kupika hutapata usumbufu wa kupata chakula.

๐Ÿ“… Wahi kufanya booking yako mapema!

๐ŸŽ‰ OFA MAALUMU
Kuanzia tarehe 8 hadi 15 Julai, nyumba hii inapatikana kwa TSh 350,000 tu kwa usiku.

โœ… Inafaa kwa hadi watu 8 kulala kwa starehe kabisa vitanda ni vikubwa mno

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa:
0659 359 393

Matangazo mengine Mbweni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbweni Jkt, Dar Es Salaam

Sh. 900,000/month

For Rent3 beds2 bathshouse
Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000/month

For Rent3 beds1 bathhouse