Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Ubungo Riverside, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
600,000 X 6
𝙉𝙮𝙪𝙢𝙗𝙖 𝙮𝙖 𝙆𝙪𝙥𝙖𝙣𝙜𝙖
: UBUNGO RIVERSIDE
Umbali wa Kutembea Kwa Mguu Dakika MOJA Kutoka Kwenye Lami
============
• Sebule kubwa
• Dining
• Vyumba VINNE vya Kulala Kimoja Wapo Master
• Jiko Kubwa
• Choo Kizuri Ndani
Nyumba Inajitegemea Yenyewe Ndani ya Fensi Parking ipo na Umeme LUKU na Maji DAWASA yanaflow ndani.
Tsh. 600,000 Malipo Miezi 6
Survey Charge ni 20,000 tu Utaonyeshwa Nyumba zote unazohitaji Zilizopo na Malipo ya Dalali ni Mwezi Mmoja Pindi Ulipiapo Nyumba.















