Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI
Unatafuta nyumba kubwa ya kisasa yenye nafasi ya kuishi na fursa ya kupata kipato cha ziada? Hii ni fursa nzuri kwako!
Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining room
β
Jiko la kisasa lenye makabati
β
Public toilet ya ndani
β
Kisima cha maji
β
Electric Fence kwa usalama
β
Jiko la nje
β
Maegesho ya kutosha
Nyumba ya Watumishi (Servant Quarter):
β
Vyumba 2 vya kulala
β
Sebule
β
Jiko
π° Servant quarter inaweza kupangishwa na kukuletea kipato cha kila mwezi.
Eneo:
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
π Hati ya Serikali ya Mtaa
π Kiwanja kimepimwa
Umbali:
π Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
π Kilomita 6 kutoka Feri ya Kigamboni
π Kilomita 5 kutoka Daraja la Nyerere
π΅ Bei: TZS Milioni 240 (Mazungumzo yapo.)
π0769554221
πService Charge
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















