Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI π‘
Je, unatafuta nyumba yenye nafasi kubwa, mazingira mazuri na ipo karibu na miundombinu muhimu? Hii ndiyo fursa yako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala (2 Master)
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Eneo la SQM 800
β
Kiwanja kimepimwa na kina Approved Plan
β
Kisima cha maji
β
Full paving
β
Electric fence
β
Pia kuna nyumba ndogo (boyβs quarter) ambayo haijakamilika yenye:
* Vyumba 2
* Sebule
* Jiko
π Mahali: Kigamboni β Kisiwani
* Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 5 kutoka Ferry
* Kilomita 3 kutoka Daraja la Nyerere
πΏ Mazingira ni mazuri, mtaa umepangika na unafaa kwa makazi ya familia.
π° Bei: TZS Milioni 240
π€ Mazungumzo yapo.
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #tanzania















