Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π’ GHOROFA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM π’
β¨ Fursa adimu ya kupata ghorofa la kisasa katika eneo zuri na linalokua kwa kasi!
π Location: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
π£οΈ Linagusa barabara ya lami
Sifa za nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala
β
Master bedroom
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko la kisasa
β
Garden nzuri
β
Servant Quarter
β
AC tayari zimefungwa
β
Gypsum ceiling
β
Aluminium windows
β
Eneo la ukubwa wa SQM 1,200
β
Limepimwa na lina hati salama
π° Bei: TZS 400,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo)
π΅ Service Charge: TZS 30,000 (Site Visit)
π Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidar es salaam fyp kigamboni dar es salaam houseforsale investment viral















