Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā KINYEREZI SHULE
Je, unatafuta nyumba ya kuishi au uwekezaji wenye faida? Hii ndiyo nafasi yako!
š Nyumba ipo Kinyerezi Shule, takribani km 1 kutoka stendi. Inatazama barabara ya mtaa, inafikika kwa urahisi wakati wote, na ipo katika mazingira mazuri yanayokua kwa kasi.
⨠Sifa za Nyumba
ā
Vyumba 4 vya kulala (2 Master Bedroom)
ā
Sebule kubwa
ā
Dining
ā
Jiko lenye makabati
ā
Choo cha wageni (Public Toilet)
š§ Maji ya RASCO yanapatikana pamoja na water reserve tank.
š Eneo lina parking ya kutosha na nafasi ya kutengeneza bustani nzuri.
š” Kama unatafuta makazi ya familia, nyumba hii ni chaguo bora lenye nafasi ya kutosha na mazingira tulivu.
š° Bei: TSh Mil 100
š Service Charge: TSh 30,000
š² Piga:
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















