Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kisarawe, Kigamboni, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 130,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – KISARAWE, KIGAMBONI 🏑

Unatafuta nyumba ya kisasa, salama na yenye nafasi kubwa kwa familia yako? Hii ndiyo fursa usiyoipaswa kuikosa!

πŸ“ Location: Kisarawe – Kigamboni
πŸ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1000
πŸ“œ Title: Hati ya Wizara
πŸ›£οΈ Umbali: Km 1 kutoka Barabara ya Lami
πŸ’° Bei: TSh 130,000,000

🏠 Sifa za Nyumba:
βœ”οΈ Vyumba 4 vya kulala (3 Master Bedroom)
βœ”οΈ Sebule kubwa na ya kisasa
βœ”οΈ Dining room
βœ”οΈ Jiko lenye nafasi ya kutosha
βœ”οΈ Public toilet
βœ”οΈ Fence imara kuzunguka nyumba yote
βœ”οΈ Geti la kisasa
βœ”οΈ Mazingira tulivu na salama, yanayofaa kwa makazi ya familia.

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi au kupanga Site Visit, wasiliana nasi:

DalaliPro Kigamboni
πŸ“± 0656902073

Tunakuunganisha na nyumba bora zenye nyaraka halali kwa usalama wa uwekezaji wako.

#DalaliProKigamboni #NyumbaInauzwa #Kigamboni #Kisarawe #RealEstateTanzania PropertyForSale HatiYaWizara

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 85,000,000

For Sale3 beds2 baths400 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 85,000,000

For Sale4 beds1 bath400 sqmhouse