Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjimwema / Makibugumo, Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #tanzania #trendingsongs π‘ BOMA LINAUZWA β KIGAMBONI, MJIMWEMA / MAKIBUGUMO π‘
Je, unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo zuri na linalokua kwa kasi? Hii ndiyo fursa yako!
β
Vyumba 4, vyote Master Bedroom
β
Sebule kubwa na jiko la kisasa
β
Limezungushiwa fensi pande zote
β
Lina geti imara
β
Gari linafika hadi nyumbani
β
Umbali wa mita 300 kutoka barabara ya lami
β
Takribani km 7 kutoka Feri ya Kigamboni
β
Takribani km 4 kutoka Daraja la Mwalimu Nyerere
β
Mazingira tulivu, salama na yenye huduma muhimu karibu
π° Bei: TZS 65,000,000 (Milioni 65)
π Wasiliana nasi: 0769 554 221















