Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Cha’ngombe, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 170,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – TABATA CHA’NGOMBE, DAR ES SALAAM 🏡

💰 Bei: Milioni 170 Tu
📐 Ukubwa: SQM 800
📜 Hati Miliki ya Wizara

Nyumba hii ya kisasa ipo ndani ya fensi katika eneo zuri la Tabata Cha’ngombe, lenye miundombinu bora na mazingira mazuri ya kuishi.

✅ Vyumba 4 vya kulala, viwili Master Bedroom
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa
✅ Choo cha wageni (Public Toilet)
✅ Maji na umeme vipo
✅ Kisima cha maji
✅ Water Reserve Tank

🏠 Pia kuna vyumba 4 vya nje, kila kimoja kikiwa na Master Bedroom, sebule na jiko, vinavyoweza kukuingizia kipato kizuri cha kodi kila mwezi.

👉 Unaweza kununua kwa ajili ya makazi binafsi au uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kupata mapato ya uhakika.

📍 Eneo tulivu, salama na linalokua kwa kasi.

📞 Simu: +255 688 412 890

💵 Service Charge: 50,000/=

🏆 DALALI WAKISHUA
🔥 Wahi Sasa Offer Kabambe!
✨ Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam