Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Viwege/Kwampemba-Majohe, Dar Es Salaam (260 sqm)

video thumbnail
Sh. 25,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Bafu

2

Ukubwa

260 SQM

Huduma na Sifa

Sebule
Jiko
Public Toilet
Karibu na Stendi ya Mabasi

Maelezo

MJENGO VYUMBA 5 KWA TSHS 25 MILIONI TU,VIWEGE/KWAMPEMBA-MAJOHE.

USISHANGAE KIMFAACHI MTU CHAKE,
NA BAHATI HAIJI MARAMBILI.

HII SIO YA KUJIFIKIRIA SANA UTAIKOSA.

Kiwanja SQM. 260.
Gari inaishia nyumba ya pili.
Ni jirani na Kituo cha Daladala.

Vyumba 5 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.

Kama una Familia kubwa hapa unajikomboa.
_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mskv