Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Kibada Ushuani, Dar Es Salaam (1800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
7
Ukubwa
1800 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 BOMA LA KIFAHARI LINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA USHUANI, DAR ES SALAAM 🏡
🔥 Nyumba kubwa ya kisasa yenye vyumba 7 inauzwa katika eneo la kifahari sana Kibada Ushuani, Kigamboni.
Nyumba imejengwa kwa standard ya hali ya juu sana ingawa bado haijakamilika kabisa — foundation na structure yake ni ya kisasa na imara sana.
📍 LOCATION: Kibada Ushuani – Kigamboni, Dar es Salaam
📏 Ukubwa wa eneo: SQM 1,800
📑 Hati safi
🚗 Eneo kubwa la parking
🌴 Space ya garden
🏊♂️ Eneo la swimming pool
🏘️ Nafasi ya servant quarter
🧱 Paving na maboresho mengine yanaweza kukamilishwa kwa urahisi
✅ Umbali:
* Mita 300 tu kutoka barabara ya lami
* Kilometa 7 mpaka Ferry
* Kilometa 6 mpaka Darajani
🌟 Mtaa mzuri sana wenye maendeleo makubwa na majirani wa kisasa.
💰 BEI: TZS 250,000,000
🗣️ Mazungumzo madogo yapo.
💵 Service Charge: Tsh 30,000 kwa kwenda kuona site
📞 Call / WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboni nyumbainauzwa dar es salaamrealestate















