Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibada Mwembe Mtengu, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA โ KIGAMBONI, KIBADA MWEMBE MTENGU | DAR ES SALAAM
๐ฐ Bei: TZS 175,000,000 (Mazungumzo yapo)
๐ Ipo Kibada Mwembe Mtengu, takribani mita 500 kutoka barabara ya lami. Eneo ni tulivu, salama na linafaa kwa makazi pamoja na uwekezaji.
โจ Sifa za Nyumba:
๐๏ธ Vyumba 3 vya kulala
๐๏ธ Sebule kubwa
๐ฝ๏ธ Dining
๐จโ๐ณ Jiko kubwa la kisasa
๐๏ธ Chumba kingine kikubwa kinachoweza kutumika kama guest room, ofisi au chumba cha nne
๐ Eneo la takribani sqm 600
๐ Hati Safi ya Wizara ya Ardhi
โ
Faida za Uwekezaji:
๐ Inafaa kwa makazi ya familia
๐ข Inafaa kwa biashara au uwekezaji
๐ต Kwa sasa inapangishwa kwa TZS 500,000 kwa mwezi, na baada ya maboresho madogo inaweza kufikia TZS 800,000 kwa mwezi.
๐ฐ Bei: TZS 175,000,000 (Mazungumzo yapo)
๐ Service Charge: TZS 30,000 (Kwa site visit)
๐ Call/WhatsApp: +255 746 407 197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja realestateapartment kigamboni kibada mwembemtengu nyumbainauzwa fyp viral















