Apartment inauzwa Tabata Kinyerezi Zabikha, Dar Es Salaam (1200 sqm)

video thumbnail
Sh. 295,000,000

Aina

Apartment

Ukubwa

1200 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Maji
Umeme
Karibu na Barabara ya Lami
Borehole

Maelezo

Apartments (3) Zinauzwa Kwa Pamoja
Mahali: Tabata Kinyerezi Zabikha

Bei: Milioni 295 (Mazungumzo)

☑️Eneo: Sqm1200
☑️Umiliki: Hati Miliki Ya Wizara
☑️Apartmoja Moja Ni Vyumba 4 Master Kodi 600k Kwa Mwezi
Apartment Mbili Mi Vyumba 2 Kodi 350k
☑️Maji Bomba Na Kisima
☑️Ni Karibu Sana Na Barabara Ya Lami

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.

Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle