Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo, Likoma Street, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Hii apartment ipo kariakoo mtaa wa likoma ipo floor ya 10 LIFTH IPO ni chumba kimoja master bedroom kubwa jiko inategemea ushei na mtu
Inapangishwa laki 4 kwa mwezi Kodi miezi 3 wai bila kuchelewa
Mawasiliano
#0716938128_0692198834โ๏ธ๐call
#0760097834_call wsp















