Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo Livingstone, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT FOR RENT(CHUMBA SEBULE MASTER+KITCHEN):
Inajitegemea kila kitu
Maji yanaflow chooni
Jiko lipo la kwake
CHUMBA ni kubwa sana
Kodi ni sh 600k per month
Malipo ni miezi Sita
NB:kutokana na matengenezo hapo,mwenyenyumba yeye utamlipa Kodi ya miezi mitano(5) Kisha mwezi mmoja uliobaki utabaki nao wewe mwenyewe kwaajili ya matengenezo kama Rangi,Sink nk.fundi unaweza ukaja naye au tukakuletea sisi
Location KARIAKOO LIVINGSTONE
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR















