Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Kwa Magufuli, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5km
Huduma na Sifa
Maelezo
Hiyo appartment ipo MBEZI KWA MAGUFULI/BR. YA GOBA karibu na MERU PETROL STATION itakua wazi kuanzia trh 25/07/2026👇
Ni MASTER KUBWA, SEBULE na JIKO ZURI LA KISASA
>Makabati ya nguo yapo
>Makabati ya vyombo yapo
>Meter yake ya Dawasco
>Jiko la kisasa lenye makabati yake
>Ina LUKU yake peke yake
>Full Air condition, A/C
>Finishing ya kisasa(nje na ndani)
>Parking ya kutosha
>Garden & Maua
>Fensi ya kisasa kabisa
>Pevements nje kote
>Pagola ya kupumzika/kukutana na wageni wako
>Public TOILET ya nje zipo
>CCTV CAMERA ZIPO
>Karibu na LAMI dakika 5
NB:👇
>Maji DAWASCO-FREE👍
>ULINZI -FREE👍
>KUZOA TAKA-FREE👍
>USAFI WA NJE-FREE👍
>KUTUNZA BUSTAN-FREE👍
>KODI YAEKE NI TSH 350,000 kwa Mwezi(1).
Tunapokea👇
Miezi ( 6)-2,100,000/=
KARIBU SANA👌!
Service charge 20,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654 101 710
0787 205 300















