Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
FANYA KUWAHI APARTMENT INAPANGISHWA โ MBEZI MAKABE โจ๐ก
๐ Eneo: Mbezi Makabe
๐ Nyumba nzuri, ya kisasa, yenye mazingira tulivu na salama.
๐ SIFA ZA NYUMBA
๐๏ธ Chumba 1 cha kulala (Master Bedroom)
๐๏ธ Sebule kubwa na ya kisasa
๐ฝ๏ธ Jiko lenye makabati ya kuhifadhia vyombo
โ๏ธ Air Condition (A/C) imefungwa
โก HUDUMA
๐ง Maji ya LUKU (Prepaid Meter)
โก Umeme wa LUKU (Prepaid Meter)
๐ฐ GHARAMA
๐ต Kodi: TSh 550,000 kwa mwezi
๐
Malipo: Miezi 4 mbele
๐งน Gharama ya Usafi: TSh 40,000 kwa mwezi
๐ GHARAMA ZA HUDUMA
๐ Kiingilio cha Kuona Nyumba: TSh 20,000
(Malipo ya mara moja, yataendelea kutumika hadi utakapopata nyumba.)
๐ Dalali: Kodi ya mwezi 1 (hulipwa tofauti).
๐ Wasiliana Sasa
๐ฑ WhatsApp: O677370515















