Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master. Sebule na jiko inapangishwa bei 200000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6. Umeme na maji unajitegemea. Parking bubwa. Reserve water tank. No fenced lakini usalama wa kutosha. Located tabata kinyerezi kwa ditopile dar es salaam
Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii















