Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam









Maelezo
Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 250000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, reserve water tank, peving block, fence ipo pia, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi kwa dito pile dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali















